Saturday 19 September 2015

Inspekta Haroun afurahia mikakati ya AMANI KWANZA GROUP

Msanii Inspekta Haroun akisalimiana na wajumbe wa AMANI KWANZA GROUP alipowakuta katika kikao chao cha kwanza Leaders Club jijini Dar es salaam Ijumaa Septemba 18, 2015, ambapo alifurahi kusikia mipango ya kundi hilo la wanamuziki wakongwe ya kuunganisha nguvu na wanamuziki vijana ili kuendeleza tasnia hiyo Tanzania.

No comments:

Post a Comment