Saturday 19 September 2015

RADIO EFM 93.7 YAAFIKI USHIRIKIANO NA AMANI KWANZA GROUP

Mratibu wa AMANI KWANZA GROUP Ankal Michuzi akiwa na Dennis Ssebo wa EFM 93.7 baada ya kikao chao ambapo kituo hicho cha redio inayokuja juu sana nchini kukubali kushirikiana na AMANI KWANZA GROUP katika kuendeleza wimbi la ushirikiano kati ya wanamuziki wakongwe na vijana. Tayari EFM imetoa mwaliko kwa wana AMANI KWANZA kushiriki katika nusu fainali za MUZIKI MNENE wa kituo hicho Oktoba 10, 2015 huko Kigamboni, ambapo wakongwe watapanda jukwaani kwa mara ya kwanza.

No comments:

Post a Comment