Saturday 19 September 2015

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Mhe. Paul Makonda abariki ujio wa AMANI KWANZA GROUP

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Mhe. Paul Makonda akiwasalimia wajumbe wa mkutano wa kwanza wa AMANI KWANZA GROUP alipowakuta wakiwa mkutanoni Leaders Club Ijumaa Septemba 18, 2015. Mhe. Makonda, ambaye ni kiomgozi wa mfano mwenye kupenda maendeleo, aliubariki mpango mzima wa AMANI KWANZA GROUP wa kuuganisha nguvu kati ya wanamuziki wakongwe na vijana kwa kuahidi kuusaidia umoja huo wa waina yake kwa hali na mali.

No comments:

Post a Comment