Mratibu wa AMANI KWANZA Ankal Michuzi akiwa na Mwenyekiti Kanku Kelly, Katibu Faliala Mbutu, Katibu Msaidizi Mjusi Shemboza na Makamu wa Mwenyekiti Mafumu Bilali Bombenga kabla ya kuanza kikao cha kwanza ch AMANI GROUP katika viwanja vya Leaders Club jijini Dar es salaam.
Baada ya kukubaliana kufanya kikao rasmi cha kuunda AMANI KWANZA Group, wajumbe walikutana kwa chakula cha mchana na mkutano katika mgahawa wa Leaders Club jijini Dar es salaam siku ya Ijumaa ya tarehe 18 Septemba 2015.
Katika kikao hicho kukafanyika uteuzi wa viongozi wa kuendeleza mpango mzima wa AMANI KWANZA GROUP kama ifuatavyo.
1. Mwenyekiti - Kanku Kelly
2.Makamu Mwenyekiti - Mafumu Bilali Bombenga
3. Katibu - Faliala Mbutu
4. Katibu Msaidizi - Mjusi Shemboza
5. Mhazini - Luiza Mbutu
6. Afisa Mipango - Komandoo Hamza Kalala
7. Mratibu - Muhidin Issa Michuzi
No comments:
Post a Comment